UKURASA WA 442; Mwalimu Yupo Hapo Ulipo.

By | March 17, 2016
Kila kitu kinachoendelea kwenye maisha yako ni mwalimu wako. Hali yoyote unayopitia, changamoto zozote unazokutana nazo, hawa ni walimu kwako na wamekuja na masomo muhimu sana unayotakiwa kuyazingatia. Unapompoteza mtu unayempenda, au ambaye ni muhimu sana kwako, tukio hili ni mwalimu kwako. Na linakupa funzo kubwa sana kwamba hutakuwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz