UKURASA WA 1218; Tukumbushane Jinsi Ya Kusikiliza…

By | May 2, 2018
Mtu akikuambia anataka umlipe hela ili akufundishe jinsi ya kusikiliza utamcheka, au siyo? Kwa sababu utaona ni kitu cha ajabu mno. Yaani ufundishwe jinsi ya kusikiliza, kwamba huna masikio au una matatizo gani? Lakini ukweli ni kwamba, kila mmoja wetu ana mengi ya kujifunza kuhusu kusikiliza. Na kwenye zama hizi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz