Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

3065; Maumivu hayajatosha.

By | May 23, 2023

3065; Maumivu hayajatosha. Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu ni viumbe wa tabia, huwa tunaanza kujenga tabia, kisha tabia zinatujenga.Asilimia kubwa ya yale tunayofanya kila siku, tunayafanya kwa tabia na mazoea na siyo kwa fikra. Hilo ndiyo huleta upinzani mkali sana kwenye mabadiliko.Watu huwa hawapo tayari kuachana na tabia na maumivu yao.Njia (more…)

3064; Usawa usiowezekana.

By | May 22, 2023

3064; Usawa usiowezekana. Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu huwa tunapenda sana usawa kwenye kila eneo la maisha.Tunapenda vitu vyote viende sawa ili tuyafurahie maisha yetu.Lakini ukweli mchungu ni kwamba, hakuna usawa kwenye mambo yote na wala hautakuja kuwepo. Mambo yote kwenye maisha huwa yanakwenda kwa kanuni za asili, ambazo haziangalii usawa (more…)

3063; Kataa kushindwa.

By | May 21, 2023

3063; Kataa kushindwa. Rafiki yangu mpendwa,Kitu kimoja ambacho nimekuwa narudia sana kukisema ni kwamba watu huwa hatupati kile tunachotaka, bali kile tunachokubali, tunachokivumilia. Na nimekuwa nikitumia mifano rahisi ya miji mikubwa.Ni vigumu sana ukasikia mtu amekufa kwa njaa kwenye mji wowote mkubwa.Lakini ndani ya miji hiyo, kuna wengi ambao hawana (more…)

3062; Hakuna mjadala.

By | May 20, 2023

3062; Hakuna mjadala. Rafiki yangu mpendwa,Fikiria kuna kitu muhimu sana ambacho unataka kununua.Unaongea na muuzaji wa kitu hicho na anakupa bei.Mnajadiliana kwenye bei na kufikia muafaka kati yako na muuzaji. Unaondoka kwenda kuchukua fedha za kulipia kama mlivyokubaliana.Unarudi ukiwa na kiasi cha fedha kilichokamilika kulingana na makubaliano.Lakini muuzaji anakuambia hataweza (more…)

Barua ya III; Urafiki wa kweli na wa uongo.

By | May 19, 2023

Barua ya III; Urafiki wa kweli na wa uongo. Rafiki yangu Mstoa,Kuna watu ambao huwa tunawachagua wawe karibu yetu kwenye maisha.Watu hao, hatulazimiki kuwa nao kama ilivyo kwa ndugu, bali tunakuwa tumechagua kwa hiari yetu wenyewe kuwa karibu nao.Watu hao ni marafiki. Marafiki ni watu muhimu sana kwenye maisha yetu.Ni (more…)

3061; Kuaminiana.

By | May 19, 2023

3061; Kuaminiana. Rafiki yangu mpendwa,Dunia inaendeshwa kwa msingi mkuu wa kuaminiana.Bila ya kuaminiana, dunia haiwezi kwenda. Tunaweza kufanya yote tunayoyafanya kwenye maisha, kwa sababu tunaweza kuwaamini wengine bila hata ya sababu yoyote. Tunakuwa tayari kuyaweka maisha yetu kwenye hatari kubwa kwa kuwaamini wengine kwamba watafanya kile kilicho sahihi. Fikiria unaenda (more…)

3060; Kuna vitu unafanya kwa usahihi.

By | May 18, 2023

3060; Kuna vitu unafanya kwa usahihi. Rafiki yangu mpendwa,Takwimu nyingi za kibiashara zimekuwa zinasikitisha sana.Biashara nyingi zinazoanzishwa huwa zinakufa ndani ya mwaka mmoja au miwili. Vifo vya biashara hizo nyingi huwa vinatokana na changamoto mbalimbali ambazo waanzilishi hawakujua na kujiandaa nazo.Lakini pia makosa, uvivu na uzembe vimekuwa vinachangia sana vifo (more…)

3059; Ahadi yangu kwako.

By | May 17, 2023

3059; Ahadi yangu kwako. Rafiki yangu mpendwa,Tangu nilipoanzisha huduma ya ukocha ya KISIMA CHA MAARIFA mwaka 2014, sikuwa naichukulia huduma hii kama biashara, kwa maana ya kuwaangalia washiriki kama wateja. Badala yake nimekuwa naichukulia kama huduma ninayoijenga na washiriki nimekuwa nawachukulia kama bidhaa ambayo ipo ndani ya huduma.Ndiyo maana gharama (more…)

3058; Wote tupo chini ya misingi hii.

By | May 16, 2023

3058; Wote tupo chini ya misingi hii. Rafiki yangu mpendwa,Tawala nyingi za kidikteta huwa zinaanza vizuri sana.Kiongozi ambaye ni dikteta, anaanza akiwa na nia njema kabisa ya kufanya maisha ya watu kuwa bora. Anapata imani kubwa ya watu mwanzoni na mambo yanaenda vizuri sana.Mabadiliko mazuri yanaonekana mwanzoni na watu kunufaika. (more…)