Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

3048; Usinipange.

By | May 6, 2023

3048; Usinipange. Rafiki yangu mpendwa,Kuna mwenendo fulani ninaouona kwa watu wanaokuwa wananiomba ushauri kwenye mambo mbalimbali.Mtu anaelezea jambo lake jinsi lilivyo na kuomba ushauri wa hatua gani za kuchukua. Tunajadiliana namna bora ya kulikabili jambo linalokuwa mbele ya mtu na kufikia tamati ya hatua sahihi za kwenda kuchukua.Lakini sasa cha (more…)

Barua ya I; Tumia muda wako vizuri.

By | May 5, 2023

Barua ya I; Tumia muda wako vizuri. Rafiki yangu Mstoa, Muda ni rasilimali muhimu sana kwenye maisha yetu.Ndiyo rasilimali pekee ambayo ukiipoteza huwezi kuipata tena.Lakini pamoja na upekee huo wa muda, bado watu wengi hawana udhibiti na muda wao, hivyo kuishia kuupoteza. Unaweza kudhani changamoto ya muda ni kwa zama (more…)

3047; Ni bora uache mapema.

By | May 5, 2023

3047; Ni bora uache mapema. Rafiki yangu mpendwa,Kuna sababu kuu mbili kwa nini watu hawapati kile wanachotaka kwenye maisha yao.Moja ni hawajui kwa hakika nini hasa wanachotaka.Na mbili ni hawajajitoa kweli kweli kupata kile wanachotaka. Pamoja na mahangaiko makubwa ambayo unaona watu wengi wanayo, sehemu kubwa ya watu hao hawajui (more…)

3046; Wapambanie kombe.

By | May 4, 2023

3046; Wapambanie kombe. Rafiki yangu mpendwa,Kadiri chochote kile unachofanya kinavyokuwa rahisi kupatikana, ndivyo wengine wanavyokidharau na kukipuuza. Kama muda wako unapatikana kwa urahisi, watu watautumia hovyo kwa mambo yasiyokuwa na tija.Watakuzamisha kwenye mambo ya hovyo, yanayokula muda wako na yasiyokuwa na tija yoyote kwenye yale unayofanya au unayotaka kufikia. Kadhalika (more…)

3045; Afya yako ya akili.

By | May 3, 2023

3045; Afya yako ya akili. Rafiki yangu mpendwa,Kwenye safari ya mafanikio, afya yako ya akili ni rasilimali muhimu sana unayopaswa kuilinda. Safari ya mafanikio imejaa vikwazo na changamoto za kila aina.Usipokuwa imara kuvuka hayo, yatakuchosha haraka sana na kujikuta ukikata tamaa. Ili kuimarisha afya yako ya akili, zingatia mambo haya (more…)

3044; Hofu na majuto.

By | May 2, 2023

3044; Hofu na majuto. Rafiki yangu mpendwa,Mafanikio yoyote yale kwenye maisha yanaanzia kwenye misingi fulani ambayo huwa inajengwa na kila mtu anayehusika kwenye eneo hilo. Mafanikio pia huwa yanahusisha kufanya mambo mapya ambayo ni tofauti kabisa na mazoea yaliyopo kwenye ebeo husika. Inapokuja kwenye ufanyaji wa mambo hayo mapya, huwa (more…)

3043; Roho mbaya.

By | May 1, 2023

3043; Roho mbaya. Rafiki yangu mpendwa,Moja ya vikwazo vikubwa kwenye safari ya mafanikio ya wengi ni jamii inayokuwa inamzunguka.Jamii hiyo inapokuwa na watu ambao hawana mafanikio wala hawapo kwenye safari ya mafanikio makubwa, inazuia watu wengine wasiyapambanie mafanikio. Kwa kuwa safari ya mafanikio inamtaka mtu ajitoe sana na kusema HAPANA (more…)

3042; Ipende kazi.

By | April 30, 2023

3042; Ipende kazi. Rafiki yangu mpendwa,Tunaishi kwenye zama ambazo kila mtu anatafuta njia ya mkato na ya haraka ya kufanikiwa isiyohusisha ufanyaji wa kazi. Kazi imekuwa inachukuliwa kama kitu cha mateso na kinachofanywa na wale wasiojielewa.Lakini licha ya watu kutafuta njia za kukwepa kazi, hakuna ambaye amewahi kufanikiwa bila kuipenda (more…)

3041; Kazi yako kuu.

By | April 29, 2023

3041; Kazi yako kuu. Rafiki yangu mpendwa,Ni rahisi na watu wanapenda sana kujipa vyeo vikubwa kwenye biashara zao.Kuna wanaojiita waanzilishi, wengine wamilili na wengine wakurugenzi wakuu wa biashara zao. Vyeo hivyo vinaweza kuwa sahihi na vinavyomfanya mtu ajisikie sana vizuri, lakini ni vyeo ambavyo vinaweza visiwe na wajibu wa kutekeleza (more…)

Mazoezi 10 Ya Falsafa Ya Ustoa Yatakayofanya Uwe Na Maisha Bora.

By | April 28, 2023

Mazoezi 10 Ya Falsafa Ya Ustoa Yatakayofanya Uwe Na Maisha Bora. Habari Mstoa Mwenzangu,Karibu kwenye mwendelezo wa mafunzo yetu ya falsafa ya Ustoa, mafunzo ambayo ni ya kutuwezesha kuchukua hatua ili kuwa na maisha bora. Hapa tunakwenda kujifunza mazoezi kumi ya Falsafa ya Ustoa, ambayo tukiyafanya kuwa sehemu ya maisha (more…)