Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

BIASHARA LEO; Kwa Nini Watu Hawawaambii Wengine Kuhusu Biashara Yako.

By | April 4, 2015

Njia bora kabisa ya kutangaza biashara yako ni kushawishi mtu anayenunua kwako au mteja wako kuwaambia wengine kuhusu biashara yako. Yaani mteja wako anapata huduma au bidhaa kwako na anapokuwa na ndugu na jamaa zake anakuwa tayari kuwaambia kama mnataka huduma fulani, nendeni sehemu fulani(yaani kwako). Hii ni njia bora (more…)

BIASHARA LEO; Umuhimu Wa Hadithi Ya Biashara Yako.

By | April 3, 2015

Tunaishi kwenye dunia ambayo watu hawanunui kwa sababu tu unauza. Zamani biashara ilikuwa rahisi, uza na watakuja kununua. Fungua biashara na watu watakuja. Tangaza biashara yako kwenye vyombo vinavyowafikia wafikia wengi na utapata wateja wengi. Ila sasa hivi mambo mengi yamebadilika. Watu hawanunui tena kwa sababu wewe unauza, hii ni (more…)

BIASHARA LEO; Lengo La Biashara Sio Kupata Faida, Bali Ni Hili Hapa.

By | April 2, 2015

Unajua lengo la biashara ni nini? Lengo la biashara sio kupata faida, lengo la biashara sio kupata mafanikio makubwa, haya yote ni matokeo ya lengo kuu la biashara. Yaani ukiweza kutimiza lengo hili kuu la biashara, haya mengine yote yanatimia bila ya tatizo lolote. Biashara nyingi zinashindwa kuendelea, kupata faida (more…)

BIASHARA LEO; Ondoka, Hakuna Aliyekuita Hapa.

By | April 1, 2015

Karibu tuendelee kupeana dondoo muhimu sana za wewe kufanikiwa kupitia biashara unayofanya. katika dondoo hizi tunaangalia makosa yanayofanywa na wafanyabiashara wengi na yanayowazuia kupata mafanikio. Pia tunaangalia changamoto zinazowazuia wafanyabiashara wengi kushindwa kufanikiwa kupitia biashara zao. Jinsi unavyotoa huduma au bidhaa zako kwa wateja, jinsi unavyozungumza nao, jinsi unavyowapokea, kunaeleza (more…)

BIASHARA LEO; Fukuza Wateja Hawa, Ni Mzigo Kwako.

By | March 31, 2015

Jana kwenye mbinu ya biashara tuliangalia mwisho wa ufalme wa mteja. Tuliona ni wakati gani ambapo mteja anaacha kuwamfalme na umuhimu wa kujua hilo. Kama hukupata nafasi ya kusoma makala ya jana isome hapa; BIASHARA LEO; Mwisho Wa Ufalme Wa Mteja. Leo tutaangalia wateja ambao unatakiwa kuwafukuza mara moja. Wateja (more…)

BIASHARA LEO; Mwisho Wa Ufalme Wa Mteja.

By | March 30, 2015

Ni kauli maarufu sana kwenye biashara kwmaba MTEJA NI MFALME. Kauli hii ni kweli ila sio kweli mara zote na kwa hali zote. Kuna wakati ambapo mteja anaacha kuwa mfalme. Ni muhimu kujua wakati huo ili usiendelee kupoteza muda mwingi kwa mteja ambaye sio sahihi kwako. Mteja ni mfalme kwa (more…)

Sehemu tano muhimu za maendeleo ya biashara yako.

By | March 30, 2015

Kila kitu kwenye maisha kina vitu ambavyo ni muhimu sana ili kiweze kuendelea kuwepo. Kama ilivyo kwetu binadamu, kuna vitu muhimu kwenye miili yetu ambavyo visipokuwepo maisha pia hayawezi kuwepo. Biashara pia ina vitu vyake muhimu sana ambavyo vinahitajika kuwepo na kuwepo kwa kiwango kizuri ili iweze kuendele ana kukuletea (more…)

BIASHARA LEO; Kitu Hiki KImoja Kitakufanya Ushindwe Kwenye Biashara.

By | March 29, 2015

Moja ya kauli za kusikitisha sana ninayokutana nayo kwa watu ni kwmaba, najaribu kufanya hii biashara nione kama itanipa faida. Kwa kauli hii tu tayari umeshashindwa kwenye biashara unayotaka kufanya. Biashara haijaribiwi, ila inafanywa. Unaposema unajaribu biashara maana yake unaifanya kwa majaribio tu na kama majaribio yako yatakwenda vizuri utaendelea (more…)

BIASHARA LEO; Biashara Unayofanya Sasa, Au Utakayoanza Sasa Sio Biashara Utakayofanya Milele.

By | March 28, 2015

Moja ya changamoto ambazo zinawazuia watu wengi kuingia kwenye biashara au kukuza biashara zao ni kufikiria ni biashara gani sahihi kwao kufanya. Watu wengi hupoteza muda mwingi wakitafuta wazo bora kabisa la biashara ambalo litawaletea faida kubwa na mafanikio makubwa pia. Wafanyabiashara wengine huumia sana pale ambapo wazo lao la (more…)