2430; Unaona kile unachotaka kuona…
2430; Unaona kile unachotaka kuona… Sisi binadamu kwa kujidanganya huwa tupo vizuri sana. Ila huwa hatujui kama tunajidanganya, tunakuwa na ukakika tumesimama kwenye ukweli. Ila ni mpaka pale uzio ulio kati ya ukweli na uongo unapoanguka ndiyo tunaona wazi tulikuwa tunajidanganya. Huwa tunaona kile tunachotaka kuona na kukusanya ushahidi unaoendana (more…)
