2420; Kuna watu wananufaika hata kama
2420; Kuna watu wananufaika hata kama hawakuambii… Tatizo kubwa kwenye maisha, hasa kwenye safari ya mafanikio ni upweke utakaokutana nao. Mara kwa mara utajikuta kwenye hali ya upweke, ukijiona uko mwenyewe kwenye mapambano unayoendesha. Katika nyakati hizo ndiyo mawazo ya kukata tamaa hukujia, yakikushawishi kwamba hakuna anayejali. Lakini mimi nataka (more…)
