2380; Usiangalie walipo sasa, angalia
2380; Usiangalie walipo sasa, angalia walipotoka… Nimekuwa nasema na ninaendelea kusema kwamba ushauri mwingi unaotolewa na watu waliofanikiwa siyo ushauri sahihi kwa wale ambao bado hawajafanikiwa. Na sababu kubwa ni mbili. Moja ni vingi walivyofanya, siyo ambavyo jamii inaweza kuelewa, hivyo wakivieleza wataonekana ni watu wa ajabu. Hata kama siyo (more…)
