#TAFAKARI YA LEO; KUWA MAKINI NA UNACHOFANYA…
Unaweza kuwa bize kweli kweli, kila siku unachoka sana, lakini unayofanya yakawa ni kikwazo kwa unachotaka. Hili ndiyo linazuia wengi wasifanikiwe, wanahangaika na mambo ambayo siyo tu hayawasaidii, bali pia yanawazuia wasipate wanachotaka. Kila unachofanya, jiulize kwanza kama kitakufikisha unakotaka na kuwa na ushahidi kutoka kwa wale ambao wameshafika unakotaka (more…)