#SheriaYaLeo (340/366); Zamisha akili yako kwenye wakati uliopo.
#SheriaYaLeo (340/366); Zamisha akili yako kwenye wakati uliopo. Kutokutulia kwa akili zetu imekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha kukosa umakini na kufanya makosa ambayo yanatugharimu sana. Kwa asili, akili yetu haiwezi kutulia sehemu moja, huwa inahama kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine. Akili zetu ni rahisi sana kuhamishwa na usumbufu unaokuwa (more…)
