#SheriaYaLeo (270/366); Achana na yaliyopita.
#SheriaYaLeo (270/366); Achana na yaliyopita. Kinachowakwamisha watu wengi ni kushindwa kuukabili uhalisia na kuona vitu jinsi vilivyo. Kadiri tunavyokua kiumri, ndivyo tunavyozidi kufanya vitu kwa mazoea. Tunatawaliwa zaidi na tabia. Kitu ambacho kilitupa matokeo mazuri huko nyuma kinakuwa ndiyo msingi wetu, tunarudia hicho hicho kila wakati. Marudio yanachukua sehemu ya (more…)
