UKURASA WA 284; Maisha Hayasimami, Unakuwa Bora Au Unakuwa Hovyo.

By | October 11, 2015
Moja ya sababu kubwa nakusisitiza sana sana na tena sana kuwa bora ni kwa sababu maisha hayasimami. Chochote unachofanya kwenye maisha yako, hakikuachi hapo ulipo, kinakufanya kuwa bora zaidi au kuwa hovyo zaidi. Hata kama hufanyi chochote, bado hubaki hivyo ulivyo, bali maisha yako yanakuwa hovyo zaidi. Unakua au unakufa,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz