2421; Siyo kila ushauri unakufaa…
2421; Siyo kila ushauri unakufaa… Nianze kwa kusema kila kitu kwenye biashara kinawezekana. Na kwa biashara yoyote unayofanya, watu watakuja kwako na ushauri wa kila aina. Na kila ushauri unaopewa utaonekana ni sahihi kabisa na wenye tija kwa biashara. Lakini siyo kila ushauri unakufaa wewe na biashara yako. Unapoingia kwenye (more…)
