Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

2426; Kusikia na kuona…

By | August 22, 2021

2426; Kusikia na kuona… Kama unachosikia kinatofautiana na unachoona, amini kile unachoona. Uongo huwa ni rahisi sana kusemwa, lakini ni mgumu kuonyeshwa. Kwenye kila aina ya uongo, huwa kuna ukweli unaoonekana wazi, lakini kwa sababu tunataka sana kusikia kile tunachotaka, tunaishia kudanganywa. Ni vigumu sana kudanganywa kama macho yako yatakuwa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; TATIZO LINAANZIA KWENYE KUTOKUJIAMINI…

By | August 22, 2021

Mstoa Marcus Aurelius amewahi kusema anashangazwa na tabia ya binadamu, huwa tunajipenda wenyewe zaidi ya tunavyowapenda wengine, lakini tunayathamini maoni ya wengine kuliko yetu wenyewe. Hili ni tatizo linaloanzia kwenye kutokujiamini. Unapokuwa hujiamini wewe mwenyewe, kile unachofanya na kule unakotaka kufika, unashindwa pia kuyaamini maoni yako mwenyewe. Unaona maoni ya (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KUPATA UNACHOTAKA…

By | August 21, 2021

Lazima ukifanye kiwe kipaumbele cha kwanza kwako, ukatae kuzuiwa na chochote kile. Safari ya mafanikio huwa ina vikwazo vingi. Kwanza unakutana na ugumu wenye lengo la kukukatisha tamaa, huo tu unatosha kuwaondoa wengi. Ukivuka ugumu huo unakutana na tamaa ya vitu vingine vinavyoonekana ni vizuri zaidi, tamaa inawaondoa wengi pia. (more…)

2424; Kipi kina nguvu ya kukuzuia?

By | August 20, 2021

2424; Kipi kina nguvu ya kukuzuia? Kama kuna kitu kina uwezo wa kukuzuia kupata kile unachotaka, basi ukweli ni kwamba hutaweza kukipata. Kwa sababu dunia huwa siyo nyepesi kutoa kile ambacho mtu anataka, huwa inapima kwanza ni kwa kiasi gani mtu huyo amejitos kukipata. Kama hujajiambia utapata unachotaka na hakuna (more…)

#TAFAKARI YA LEO; MAWAZO MAZURI NI YA WOTE…

By | August 20, 2021

Kila mawazo mazuri unayoyapata, huwi umeyapata wewe tu, bali wengine pia wanakuwa wameyapata. Unapochelewa kufanyia kazi mawazo mazuri unayoyapaga, unatoa mwanya kwa wengine kuyafanyia kazi na kunufaika nayo zaidi. Usitunze mawazo mazuri kwa ajili ya baadaye, badala yake yafanyie kazi, maana unapochelewa ndiyo unazidi kuyakosa mawazo hayo mazuri. Ukurasa wa (more…)

2423; Hakuna mawazo yako peke yako…

By | August 19, 2021

2423; Hakuna mawazo yako peke yako… Umewahi kupata wazo la kitu fulani, labda ni fursa nzuri umeiona na kujiambia utafanyia kazi baadaye. Halafu siku si nyingi unakuta watu wengine wameshafanyia kazi wazo hilo hilo? Hilo hutokea kila mara. Wakati mwingine unamwambia mtu kitu anakuambia alikuwa anafikiria hivyo hivyo. Mawazo tunayoyapata (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KUJIDANGANYA NI RAHISI…

By | August 19, 2021

Safari ya mafanikio ni ngumu, lakini kujidanganya ni rahisi. Kwa kuwa wengi wanapenda urahisi, hivyo hukimbilia kujidanganya. Kwenye safari yako ya mafanikio, ukweli ni kile unachotaka na uongo ni chochote unachojiambia ambacho ni tofauti na unachotaka. Je wewe unachagua nini, kuwa upande wa ukweli kwa maana ya kupambania unachotaka? Au (more…)

2422; Siyo kweli..

By | August 18, 2021

2422; Siyo kweli.. Siyo kweli kwamba umeshafanya kila kinachowezekana kufanyika, kuna vingi hujafanya, hivyo endelea kufanya. Siyo kweli kwamba umeshamfikia kila mtu, kuna wengi hujawafikia, endelelea kuwafikia wengi zaidi. Siyo kweli kwamba kila kitu kimeshasemwa, bado dunia haijasikia sauti yako. Siyo kweli kwamba huna muda, hujaupangilia tu vizuri. Chochote unachojiambia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; GHARAMA YA USHAURI WA BURE…

By | August 18, 2021

Watu wapo tayari kukupa kila aina ya ushauri hata kama hujawaomba. Watakupa ushauri huo bure kabisa na kukuonyesha kwamba ni muhimu kwako. Wengine wataenda mbali zaidi na kukulaumu kama hutafanyia kazi ushauri wao. Lakini kama tunavyojua, hakuna kitu cha bure, ushauri wa bure una gharama kubwa ambayo ni kukutoa kwenye (more…)