Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

2961; Uza maziwa, siyo ng’ombe.

By | February 8, 2023

2961; Uza maziwa, siyo ng’ombe. Rafiki yangu mpendwa,Ukiwa na ng’ombe, ambaye unamkamua maziwa, halafu akajitokeza mtu na kukuambia ng’ombe wako anatoa maziwa vizuri, niuzie maana nina uhitaji sana wa maziwa.Kama ndiye ng’ombe pekee uliyenaye na ndiye tegemeo kwako, unajua vyema kwamba hutakubali kumuuza ng’ombe huyo, bali utamwambia umuuzie maziwa. Kadhalika (more…)

2960; Usiwauzie, wafundishe.

By | February 7, 2023

2960; Usiwauzie, wafundishe. Rafiki yangu mpendwa,Mauzo yanakuwa magumu kwa wengi kwa sababu wamekuwa wakikazana kuwalazimisha watu kununua.Wanachosahau watu hao ni kwamba hakuna mteja anayependa kuona amelazimishwa kununua. Kuuza ni kufundisha na kufundisha ni kuuza.Wauzaji ambao wamekuwa wanaweka mbele kipaumbele cha kufundisha badala ya kuuza, wamekuwa wanaingiza kipato kikubwa sana. Wafundishe (more…)

2959; Kisima kitupu.

By | February 6, 2023

2959; Kisima kitupu. Rafiki yangu mpendwa,Kama una bomba la maji ambalo linatokea kwenye kisima, lakini halitoi maji, siyo kwamba maji hakuna kabisa, bali ni kisima ndiyo kitupu.Kama kisima kingekuwa na maji, ni dhahiri bomba lingetoa maji. Unaweza kulalamika hakuna wateja kwenye biashara yako, lakini huo siyo ukweli. Wateja wapo na (more…)

2958; Abiria ambao hawaendi Arusha washuke.

By | February 5, 2023

2958; Abiria ambao hawaendi Arusha washuke. Rafiki yangu mpendwa,Pata picha wewe ni dereva wa basi ambalo linafanya safari zake kutoka Dar kwenda Arusha. Basi imepaki kwenye stendi kuu ya mabasi ya Dar na kupakia abiria.Basi inajaa kisha unaanza safari. Ile unatoka tu kwenye stendi na kuelekea kibaha, kundi la abiria (more…)

2957; Utatu wa umasikini.

By | February 4, 2023

2957; Utatu wa umasikini. Rafiki yangu mpendwa,Umasikini ni mbaya sana.Kuna vitu vingi sana tunavyokutana navyo ambavyo vinadhihirisha umasikini na madhara yake kwetu. Aliyekuwa raisi wa kwanza wa Tanzania, Mwl. J. K. Nyerere alichagua maadui wakubwa watatu ambao alishawishi kila mwananchi kupambana nao.Maadui hao walikuwa ni Ujinga, Maradhi na Umasikini.Pamoja na (more…)

2956; Viwango, Fokasi na Kasi.

By | February 3, 2023

2956; Viwango, Fokasi na Kasi. Rafiki yangu mpendwa,Kama unataka kujenga biashara yenye mafanikio makubwa sana, unapaswa kufanyia kazi kwa uhakika maeneo hayo matatu. Unapaswa kuweka viwango vya juu sana kisha kuhakikisha watu wote wanafikia viwango hivyo.Biashara nyingi hazifanikiwi kwa sababu hakuna viwango vilivyowekwa.Biashara inakuwa haina msimamo wowote.Kila wakati inabadilika ili (more…)

2955; Kupendwa au kuheshimiwa?

By | February 2, 2023

2955; Kupendwa au kuheshimiwa? Rafiki yangu mpendwa,Wajibu wetu wa kwanza kama viongozi kwenye biashara zetu ni kuwafanya watu wafanye vitu ambavyo hawataki kufanya, lakini vyenye manufaa kwao. Na hilo halitakuweka kwenye nafasi ya kupendwa sana na watu hao unaowaongoza, kwa sababu utakuwa unawasukuma kuondoka kwenye mazoea.Hakuna kitu kinachowafanya watu wajisikie (more…)

2954; Biashara yenye mauzo ya faida.

By | February 1, 2023

2954; Biashara yenye mauzo ya faida. Rafiki yangu mpendwa,Takwimu za kibiashara kila mara huwa zinasikitisha sana. Kati ya biashara mpya zinazoanzishwa, asilimia 80 huwa zinakufa ndani ya miaka miwili tangu kuanzishwa kwake. Haijalishi ni biashara ya aina gani na inafanywa na nani, hatari ya biashara mpya huwa ni kubwa sana. (more…)

2953; Fanya machache kufanya makubwa.

By | January 31, 2023

2953; Fanya machache kufanya makubwa. Rafiki yangu mpendwa,Huwa tunadhani ili tuweze kufanya makubwa, basi tunahitaji kufanya mambo mengi sana.Hilo linapelekea tujihangaishe na mambo mengi na mapya kila wakati. Lakini cha kushangaza, hata baada ya kuhangaika na mengi, bado matokeo tunayoishia kupata ni ya kawaida sana. Tunahangaika na mengi, tunachoka sana (more…)

2952; Hili basi linaenda wapi?

By | January 30, 2023

2952; Hili basi linaenda wapi? Rafiki yangu mpendwa,Pata picha una safari yako ya kwenda eneo fulani.Unafika stendi ya mabasi na kukata tiketi ya safari yako na kuelekezwa basi unalopaswa kupanda.Unakwenda kwenye basi na muda siyo mrefu dereva anawasha gari kuondoka.Kujihakikishia safari yako, unamuuliza dereva swali; “hili basi linaenda wapi?”Dereva anakuangalia (more…)