Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Kabla hujahama biashara moja na kwenda nyingine zingatia mambo haya muhimu.

By | May 4, 2015

Moja ya mambo ambayo yanaulizwa sana na watu wengi wanaowasiliana na mimi kwa ajili ya ushauri ni kuhusu kuingia kwenye biashara nyingine. Yaani unakuta mtu anafanya biashara ya aina fulani na sasa anataka kuingia kwenye biashara ya aina nyingine. Watu wengi huanza kupata mawazo ya aina hii pale wanapoona biashara (more…)

Hii Ni Nafasi Ya Mwisho Kabisa, Usiikose Tena.

By | May 2, 2015

Kwanza niwashukuru sana wale wote ambao wameshajiunga na semina ya MAFANIKIO KATIKA BIASHARA  mwaka 2015. Umefanya maamuzi sahihi sana kujiunga na semina hii na utajifunza mambo mazuri ambayo kama utayatumia utaboresha zaidi biashara yako na kufikia mafanikio makubwa. Nimepokea ujumbe kutoka kwa watu wengi jana kusumbuliwa na mtandao hivyo kushindwa (more…)

BIASHARA LEO; Jambo Muhimu La Kila Mfanyabiashara Kufanya Kila Siku.

By | May 1, 2015

Leo ni siku ya mwisho ya kujiunga na SEMINA YA MAFANIKIO KUPITIA BIASHARA. Kwa maelezo zaidi bonyeza HAPA. Kujifunza kila siku ndio hitaji la chini kabisa ili kuweza kufikia mafanikio kwenye maisha. Na kwenye biashara hii ni muhimu zaidi kwa sababu mabadiliko makubwa yanatokea wkenye biashara kila siku. Kuna mbinu (more…)

BIASHARA LEO; Hili Ndio Kosa Kubwa Unaloweza Kufanya Kwenye Biashara Yako.

By | April 30, 2015

Sote tunajia kwamba biashara zina changamoto nyingi sana. Na sehemu kubwa ya changamoto hizi huwa tunazitengeneza sisi wenyewe kwa kufanya au kutokufanya mambo fulani. Na kila changamoto tunayokutana nayo kwenye biashara tunaweza kuitatua kama tukijua njia sahihi za kuikabli changamoto husika. Kupitia kipengele hiki cha BIASHARA LEO hapa kwenye KISIMA (more…)

BIASHARA LEO; Aina Tatu Za Wateja Na Jinsi Unavyoweza Kufaidika Nao.

By | April 29, 2015

Unapoanza biashara, una kazi kubwa ya kufanya kujua wateja wako ni watu wa aina gani. Hili ni jambo muhimu sana ili uweze kuwapatia kile ambacho wanahitaji, uweze kutatua matatizo yao na kisha wakupatie wewe fedha. Japokuwa wateja wako wanawez akuwa na tatizo sawa, lakini bado hawafanani. Kutokana na tabia tofauti (more…)

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutengeneza Biashara Kubwa Kwa Kuanzia Chini Kabisa, Hata Kama Huna Kitu.

By | April 29, 2015

Semina ya mafanikio kupitia biashara mwaka 2015 imebaki siku mbili tu ili uweze kujiunga. Kama unapitia changamoto zozote kwenye biashara yako au hata kama huna changamoto ila ungependa kufikia mafanikio makubwa usikose kujiunga na semina hii. Mwisho wa kujiunga ni ijumaa hii tarehe 01/05/2015. Baada ya hapo hutapata tena nafasi (more…)

BIASHARA LEO; Kama Hujaweza Kumpata Mteja Huyu, Huna Biashara.

By | April 28, 2015

Lengo la biashara ni kutengeneza wateja ambao watakuwa wanakuamini na mtaendelea kufanya biashara pamoja. Wateja hawa watakuw atayari kuwaambia watu wengine kuhusiana na biashara yako na hivyo kuleta wateja wengi zaidi. Lakini sio wateja wote ni sawa na wote hawapatikani kwa njia moja rahisi. Kuna wateja ambao unaweza kuwapata kirahisi (more…)

BIASHARA LEO; Hivi Ndivyo Unavyokaribisha Ushindani Kwenye Biashara Yako.

By | April 27, 2015

Moja ya makosa ambayo wafanyabiashara wengi huwa wanayafanya na yanawagharimu ni kufikiri kwamba watu wengine hawaoni kile ambacho wanakifanya. Wanafikiri kwamba wamejifungia wkenye ulimwengu wao wenyewe na kufanya mambo yao wenyewe. Ukweli ni kwamba kama unafanya biashara na inaonesha mafanikio makubwa, kuna watu wengi wanaiona biashara hiyo na wameshaanza kufikiria (more…)

BIASHARA LEO; PANGA MARA KUMI.

By | April 25, 2015

Uliisoma na kuielewa vizuri sheria ya mara mbili mara tatu? Kama hukuisoma ni muhimu sana wewe kufanya hivyo kwa sababu itakusaidia sana kwenye mipango yako ya muda na fedha kwenye biashara unayofanya. Unaweza kuisoma hapa; Tumia Sheria Ya Mara 2, Mara 3 Kwenye Mipango Yako Ya Biashara. Leo nakupa sheria (more…)

BIASHARA LEO; Saikolojia Ya Kuuza, Uza Bei Ghali Kabla Ya Rahisi.

By | April 24, 2015

Ili uweze kufanikiwa kwenye biashara, hasa kupitia masoko na mauzo basi unahitaji kuijua saikolojia hasa upande wa tabia za binadamu. Binadamu wana tabia fulani ambazo zinawafanya wachukue maamuzi au wasichukue maamuzi katika hali fulani wanazokutana nazo. Tabia hizi ni nyingi na tutaendelea kujifunza kwenye kipengele hiki cha BIASHARA LEO kadiri (more…)