Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Jinsi ya kuandaa mchanganuo rahisi wa biashara yako.

By | January 12, 2015

Mchanganuo wa biashara ni muhimu sana kama kweli unataka biashara yako ikue na upate faida kubwa. Lakini wajasiriamali na wafanyabiashara wengi wadogo huwa hawaoni umuhimu wa kuandaa michanganuo ya biashara zao. Wengi huandaa pale wanapohitaji mkopo na kuambiwa ili wapewe mkopo lazima waoneshe mchanganuo wa biashara yao. Tofauti na hapo (more…)

Mwaka mpya una maana gani kwako mjasiriamali?

By | January 5, 2015

Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia wajasiriamali wenzangu wote heri ya mwaka mpya 2015. Mwaka huu bado ni mpya kabisa na hivyo una miezi kumi na mbili iliyopo mbele yako. Katika miezi hii inayokuja unayo nafasi ya kukua zaidi kama mjasiriamali na pia katika miezi hii unaweza kubaki hivyo ulivyo au (more…)

Umuhimu wa kurasimisha biashara yako.

By | December 29, 2014

Wajasiriamali wengi ambao pia ni wafanyabiashara wadogo wamekuwa wakifanya biashara zao kwa mazoea. Kwa kuwa mtu anawazo zuri linaloweza kutatua matatizo ya watu na wapo tayari kulipia bidhaa au huduma inayotokana na wazo hilo, mjasiriamali anaingia moja kwa moja kwenye biashara bila ya kujali mambo mengine. Ukiwa unafanya hivi unaweza (more…)

Huduma kwa mteja; sehemu muhimu iliyosahaulika na wajasiriamali.

By | December 15, 2014

Moja ya changamoto zinazowakabili wajasiriamali wengi wa kitanzania ni huduma kwa wateja. Huduma kwa wateja ni eneo muhimu sana kwenye maendeleo ya biashara yoyote. Wajasiriamali wengi, wakubwa kwa wadogo wamekuwa wakiwekeza nguvu zao nyingi katika kutafuta wateja wapya kwenye biashara zao. Wamekuwa wanafanya hivyo kupitia matangazo mbalimbali. Wajasiriamali hawa wanasahau (more…)

Mambo ya kuzingatia kabla hujachukua mkopo wa biashara.

By | December 8, 2014

Wewe kama mjasiriamali kuna wakati ambapo utahitaji fedha zaidi ili uweze kukuza biashara yako. Fedha hizi unaweza kuzipata kupitia mikopo inayotolewa kwenye taasisi mbalimbali za kifedha. Wiki iliyopita hapa kwenye KONA YA MJASIRIAMALI tulijadili umuhimu wa taasisi za kifedha katika maendeleoa ya ujasiriamali. Katika makala ile tuliona vigezo muhimu unavyotakiwa (more…)

Umuhimu wa taasisi za fedha kwenye maendeleo ya mjasiriamali.

By | December 1, 2014

Fedha ndio damu ya biashara au ujasiriamali wa aina yoyote. Baada ya kuwa na wazo zuri la kijasiriamali kinachofuata ni utekelezaji ambao unahitaji fedha. Na kwa kuwa fedha hazipatikani kirahisi inawalazimu wajasiriamali wengi kuanza kidogo na kuendelea kukua kadiri siku zinavyozidi kwenda. Leo tutajadili umuhimu wa taasisi za fedha kama (more…)

Mambo matatu unayotakiwa kufanya ili kufanikiwa kwenye biashara.

By | November 24, 2014

Kuwa kwenye ujasiriamali au biashara ni jambo moja, kupata mafanikio kupitia ujasiriamali ni jambo jingine ambalo ni muhimu sana kwa kila mjasiriamali. Sio kazi ngumu sana kuanza biashara hasa pale unapokuwa huna kingine cha kutegemea isipokuwa kuingia kwenye biashara. Ila ni kazi ngumu kidogo kufikia mafanikio makubwa kupitia biashara yako. (more…)

Mbinu tano za kufanikiwa kwenye ujasiriamali.

By | November 17, 2014

Kila mjasiriamali ana ndoto siku moja aweze kufikia mafanikio makubwa sana. Haijalishi ni kiwango gani cha mafanikio ulichofikia mpaka sasa, bado unahitaji kukua zaidi na kufikia mafanikio zaidi. Ndio maana hata wajasiriamali waliofanikiwa sana bado wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa kila siku ili waendelee kufanikiwa zaidi. Kama umejikuta tu (more…)

Njia tano za kuongeza mauzo kwenye biashara yako.

By | November 10, 2014

Katika ujasiriamali na biashara kila mfanya biashara anajua kwamba fedha ndio damu ya biashara. Kama hakutakuwa na mzunguko wa fedha wa kutosha kwenye biashara ni sawa na mtu ambaye hana damu ya kutosha na hivyo itapelekea kufa kwa biashara. Na njia kubwa ya kuongeza mzunguko wa fedha kwenye biashara yoyote (more…)

Aina tatu za wateja na jinsi ya kufanya nao biashara.

By | November 3, 2014

M afanikio kwenye ujasiriamali yatatokana na kiasi cha mauzo unachofanya. Na kisi cha mauzo yako kinatokana na jinsi unavyowajua wateja wako na kuweza kufanya nao biashara vizuri. Wajasiriamali na wafanya bishara wengi wanafikiri wateja wote ni sawa na hivyo kujaribu kufanya nao biashara kwa mtindo mmoja. Hali hii imekuwa ikileta (more…)