2670; UKIMWI, UKIRO na UKIA.
2670; UKIMWI, UKIRO na UKIA. Unaujua UKIMWI, kifupisho na Upungufu Wa Kinga Mwilini. Hii ni hali ambayo inaathiri mfumo wa kinga ya mwili, kiasi kwamba mwili unakuwa dhaifu na kushindwa kupambana na magonjwa. Mtu mwenye UKIMWI ni rahisi kufa kwa ugonjwa ambao asiye na UKIMWI anaweza kupambana nao. Hapa sitasema (more…)
