#TAFAKARI YA LEO; SIYO RAHISI LAKINI INAWEZEKANA…
Kufikia mafanikio makubwa siyo kazi rahisi, lakini ni kitu kinachowezekana kwa sababu wapo ambao wameweza kuyafikia. Hivyo wajibu wetu kama tunataka kuyafikia, ni kujitoa kweli kweli na kuwa tayari kupambana kwa kila namna ili kuyapata. Tunapotaka kukata tamaa tujikumbushe haya mawili, kwamba wapo walioweza kufikia mafanikio hayo makubwa na wapo (more…)