#SheriaYaLeo (255/366); Imani ya shujaa.

By | July 13, 2022

#SheriaYaLeo (255/366); Imani ya shujaa. Asili huwa inaweka ukomo kwa kila kiumbe hai, ukomo wa mwisho ukiwa ni kifo. Huwa tuna ukomo kwenye kiasi cha nguvu tunachoweza kutumia kabla hatujachoka. Kadhalika kwenye muda na vipaji, tunavyo ila kwa ukomo mkubwa. Samaki hawezi kuruka angali na wala ndege hawezi kuishi ndani (more…)

2750; Siyo pale unapojisikia.

By | July 12, 2022

2750; Siyo pale unapojisikia. Huwezi kufanikiwa kama unafanya vitu pale unapojisikia kufanya. Mafanikio yanataka nidhamu kubwa sana ya kupanga na kufanya iwe unajisikia au la. Na hiyo ndiyo tofauti kuu kati ya wanaofanikiwa na wanaoshindwa. Wote wanakuwa na ndoto kubwa. Na wote wanaweka mipango ya kufikia ndoto hizo. Ila tofauti (more…)

#SheriaYaLeo (254/366); Puuza mambo kuyanyima nguvu.

By | July 12, 2022

#SheriaYaLeo (254/366); Puuza mambo kuyanyima nguvu. Jambo lolote lile huwa linakuwa na nguvu kwetu pale tunapolijali na kulipa umakini wetu. Hata watu huwa wanatusumbua kwenye mambo ambayo tunayajali sana. Lakini unapopuuza jambo lolote lile, unalinyima nguvu na hivyo halikusumbui. Hata watu wanapotaka kukusumbua, ukiwapuuza usumbufu wao unakosa nguvu kwako. Kupuuza (more…)

2749; Kama inabidi ulazimishwe, kuna tatizo.

By | July 11, 2022

2749; Kama inabidi ulazimishwe, kuna tatizo. Siku za karibuni nilikuwa naangalia mahojiano ya aliyekuwa mchezaji bora kabisa wa mpira wa kikapu Kobe Brayant. Aliulizwa yeye kama kiongozi alikuwa anawasukumaje wachezaji wenzake ili waweze kufanya vizuri kama timu. Jibu ambalo Kobe alitoa lilinifikirisha sana na nikaona siyo tu kwenye michezo, bali (more…)

#SheriaYaLeo (253/366); Ona hatari kubwa iliyo mbele yako.

By | July 11, 2022

#SheriaYaLeo (253/366); Ona hatari kubwa iliyo mbele yako. Changamoto kubwa ambayo watu wengi wanayo ni kunasa kwenye wakati uliopo na kushindwa kabisa kupangilia yale yanayokuja. Matokeo yake ni mambo yanakuja kwao kwa mshangao mkubwa, wakiwa hawana maandalizi yoyote, kitu ambacho kinawaathiri sana. Wewe usiwe kama walio wengi, usikubali kuvurugwa na (more…)

#SheriaYaLeo (252/366); Tumia vizuri machafuko.

By | July 10, 2022

#SheriaYaLeo (252/366); Tumia vizuri machafuko. Fikiria akili yako kama jeshi. Jeshi linapaswa kuweza kuendana na ugumu na machafuko yanayoendelea kwa kutumia njia isiyotabirika. Kama ilivyo kwenye vita vya msitumi, adui hatumii mkakati wote mazoea, badala yake kila wakati anakuwa kwenye mwendo. Hali hiyo inafanya kuwa vigumu sana kumshambulia adui huyo. (more…)

#SheriaYaLeo (251/366); Gawa ili kushinda.

By | July 9, 2022

#SheriaYaLeo (251/366); Gawa ili kushinda. Pale tunapokabiliana na kitu chochote kikubwa, iwe ni adui, jukumu au changamoto, huwa tunahofia. Ukubwa wa kile kinachotukabili unatuogopesha kwa kuona hatuwezi kukishinda. Lakini huo siyo ukweli, hakuna chochote kikubwa ambacho hatuwezi kukishinda kama tutatumia njia sahihi. Na moja ya njia bora kabisa ya kushinda (more…)

2746; Kutamani, kupanga na kufanya.

By | July 8, 2022

2746; Kutamani, kupanga na kufanya. Matamanio ni bure kabisa, kila mtu huwa anatamani kuwa na vitu vizuri. Ni matamanio ya kila binadamu kupata mafanikio makubwa. Kupanga ni rahisi, watu wengi huwa wanaweka mipango mizuri kabisa ya kupata kile wanachotamani. Wanakuwa wanajua nini wanapaswa kufanya ili kupata wanachotaka. Tatizo kubwa lipo (more…)