UKURASA WA 608; Hasara Ya Kutokufanya Maamuzi Ya Maisha Yako…

By | August 30, 2016
Maisha yetu yanaathiriwa na kila kitu ambacho tunachagua kufanya au kutokufanya. Yaani upo hapo ulipo sasa, kutokana na mambo ambayo ulifanya au ulishindwa kufanya huko nyuma. Na kile unachofanya leo, au unachoshindwa kufanya, ndiyo kinaamua maisha yako ya kesho yaweje. Kitu ambacho kimekuwa kinawashinda wengi kwenye maisha yao, ni kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz