Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

#SheriaYaLeo (365/366); Kubali udogo wako.

By | October 31, 2022

#SheriaYaLeo (365/366); Kubali udogo wako. Tulipokuwa watoto tulijua udogo wetu na kukubali kuna mengi ambayo yapo nje ya uwezo wetu. Sasa tumekuwa watu wazima na kusahau udogo huo, kwa kudhani kila kitu kinapaswa kuwa ndani ya uwezo wetu. Lakini ukiuangalia ukubwa wa ulimwengu, sisi bado ni wadogo sana. Ukiangalia umri (more…)

2861; Nguvu kubwa kuliko wewe.

By | October 31, 2022

2861; Nguvu kubwa kuliko wewe. Ipo nguvu kubwa kuliko wewe ambayo inauendesha huu ulimwengu. Bado hatuielewi vizuri nguvu hii, hivyi tumekuwa tunaipa majina mbalimbali. Wapo wanaoiita Mungu, wengine wanaiita Asili na mengine. Lakini wote tunakubaliana kwamba ipo nguvu kubwa inayofanya ulimwengu mzima uende unavyoenda. Kuchomoza na kuzama kwa jua, kuonekana (more…)

#SheriaYaLeo (364/366); Tafakari maajabu ya dunia.

By | October 30, 2022

#SheriaYaLeo (364/366); Tafakari maajabu ya dunia. Kila unachokiona kwenye maisha yako hapa duniani ni maajabu. Ukianza na mwili wako mwenyewe, una maajabu mengi ambayo huwezi kuyaelezea. Hujui chanzo cha hisia zako, huwezi kuona ubongo wako wala jinsi chakula kinavyomeng’enywa tumboni kwako. Lakini hayo yote yanaendelea kwenye mwili wako na unayaona (more…)

#SheriaYaLeo (363/366); Anga na nyota.

By | October 29, 2022

#SheriaYaLeo (363/366); Anga na nyota. Kwenye usiku usio na mawingu, liangalie anga na utaziona nyota nzuri ambazo zinalipendezesha anga. Ukiangalia anga wakati wa mchana utaliona jua ambalo ni nyota iliyo karibu zaidi na dunia na ambayo mwanga wake unaipa uhai dunia. Bila ya mwanga wa jua, kusingeweza kuwa na maisha (more…)

2859; Zidisha thamani yako.

By | October 29, 2022

2859; Zidisha thamani yako. Zamani watu walikuwa wanalipwa kulingana na muda wanaofanya kazi, hivyo wengi walitengeneza mazingira ya kuonekana wanafanya kazi muda mrefu hata kama haina tija. Siku hizi watu wanalipwa kulingana na thamani wanayoizalisha. Hivyo kama unataka ukipwe zaidi, toa thamani zaidi. Ukizidisha thamani unayoitoa mara 10, utaweza kuongeza (more…)

#SheriaYaLeo (362/366); Penda asili.

By | October 28, 2022

#SheriaYaLeo (362/366); Penda asili. Kuna mambo mengi kwenye maisha yetu ambayo hayapo ndani ya udhibiti wetu. Tunakutana na maumivu, magonjwa, kutengana na hata kifo. Tunakutana na magumu, changamoto na hata kushindwa kwenye mambo mangi ambayo tunapanga kufanya. Tunaweza kufanya kila kitu kwa usahihi kabisa lakini bado tukakutana na hali hizo. (more…)

2858; Icheke dunia.

By | October 28, 2022

2858; Icheke dunia. Katika viumbe wote waliopo hapa duniani, sisi binadamu pekee ndiyo wenye uwezo wa kucheka. Viumbe wote wana uwezo wa kulia, hasa pale wanapokuwa na maumivu mbalimbali. Lakini inapokuja kwenye kucheka, ni sisi binadamu pekee tunaoweza kufanya hivyo. Tumia uwezo huo wa kucheka kuweza kufanya makubwa kwenye maisha (more…)

#SheriaYaLeo (361/366); Tumia vizuri ubongo wa dunia.

By | October 27, 2022

#SheriaYaLeo (361/366); Tumia vizuri ubongo wa dunia. Ubongo ni kiungo chenye nguvu kubwa kwenye miili yetu. Kina nguvu ya kutuwezesha kupata chochote tunachotaka. Kile ambacho tunakifikiri kwa muda mrefu ndiyo kinakuwa uhalisia wetu, kwa sababu ubongo unatuletea taarifa za aina hiyo zaidi. Pamoja na nguvu hiyo kubwa ya ubongo, bado (more…)