#SheriaYaLeo (296/366); Usipotezwe na vitu visivyo na tija.
#SheriaYaLeo (296/366); Usipotezwe na vitu visivyo na tija. Kuna wakati unajikuta umezidiwa na majukumu ambayo unapaswa kuyatekeleza. Unajikuta ukiwa na mambo mengi ya kufanya, lakini muda wa kuyafanya unakuwa mdogo. Ni katika wakati huo ndiyo unapata hali ya kuvurugwa, kwa kuona kuna mambo unapoteza au unayakosa kwa sababu umepoteza udhibiti. (more…)
