Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

#SheriaYaLeo (271/366); Jipe nafasi ya kubadilika.

By | July 29, 2022

#SheriaYaLeo (271/366); Jipe nafasi ya kubadilika. Mradi wowote unaofanya, uwe ni sanaa, kazi au biashara ni sawa na kupigana vita. Lazima uwe na mkakati wa jinsi unavyokabili tatizo, kupangilia kazi yako na kukabiliana na tofauti ya matokeo na mategemeo. Watu wengi huwa wanaanza na wazo zuri, lakini katika kuweka mipango (more…)

2766; Watu wasiokuheshimu.

By | July 28, 2022

2766; Watu wasiokuheshimu. Mtu mmoja amewahi kusema kwamba watu wengi kwenye maisha wanatumia fedha ambazo hawana, kununua vitu ambavyo hawavihitaji ili kuwaridhisha watu ambao hawajali. Fikiria mtu anayekopa fedha, ili kununua gari ya kifahari kwa sababu anataka aonekane na wengine. Naweza kwenda mbali zaidi na kusema matatizo mengi kwenye maisha (more…)

#SheriaYaLeo (270/366); Achana na yaliyopita.

By | July 28, 2022

#SheriaYaLeo (270/366); Achana na yaliyopita. Kinachowakwamisha watu wengi ni kushindwa kuukabili uhalisia na kuona vitu jinsi vilivyo. Kadiri tunavyokua kiumri, ndivyo tunavyozidi kufanya vitu kwa mazoea. Tunatawaliwa zaidi na tabia. Kitu ambacho kilitupa matokeo mazuri huko nyuma kinakuwa ndiyo msingi wetu, tunarudia hicho hicho kila wakati. Marudio yanachukua sehemu ya (more…)

#SheriaYaLeo (269/366); Epuka kukaa kwenye kona.

By | July 27, 2022

#SheriaYaLeo (269/366); Epuka kukaa kwenye kona. Kwenye michezo mbalimbali, kukimbilia kukaa kwenye kona ni kujipeleka kwenye kushindwa na hata kufa kabisa. Hali hiyo pia ipo kwenye maeneo mengine ya maisha yetu. Pale unapokabiliana na jambo lolote lile, kukimbilia kwenye kona ni kujipeleka kwenye kushindwa. Kwenye kona kunaweza kuonekana kama ni (more…)

2764; Wimbo unaoupenda sana.

By | July 26, 2022

2764; Wimbo unaoupenda sana. Rafiki, hebu fikiria wimbo mmoja ambao unaupenda sana. Tena hebu uimbe kidogo wimbo huo. Unaujua kwa hakika mashairi yake yote. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwa baadhi ya matangazo ya biashara. Kuna baadhi ya matangazo ambayo umekuwa unayapenda sana na unayajua maelezo yake yote. Sasa nina swali (more…)

#SheriaYaLeo (268/366); Rudi nyuma kupata mtazamo mpya.

By | July 26, 2022

#SheriaYaLeo (268/366); Rudi nyuma kupata mtazamo mpya. Tatizo kubwa linalotukabili kwenye mikakati na maisha kwa ujumla ni kwamba kila mmoja wetu ni wa kipekee kwa haiba yake. Tunatofautiana sana na hata hali tunazopitia pia zinatofautiana. Changamoto kubwa ni kwamba huwa hatuwezi kujua tofauti walizonazo wengine. Mbaya zaidi ni tunashindwa hata (more…)

2763; Hakuna anayekuangusha.

By | July 25, 2022

2763; Hakuna anayekuangusha. Ni rahisi sana kulaumu wengine kwamba wanakuangusha au kukukwamisha. Lakini nataka nikuhakikishie kitu kimoja, hakuna yeyote anayekukwamisha au kukuangusha. Bali hayo yote unajifanyia wewe mwenyewe. Kama hujapata au kufika kule unakotaka kufika, hakuna mwingine yeyote ambaye anakuzuia isipokuwa wewe mwenyewe. Siyo wazazi, mwenza, serikali, uchumi au mazingira (more…)

#SheriaYaLeo (267/366); Tumia machale yako.

By | July 25, 2022

#SheriaYaLeo (267/366); Tumia machale yako. Mara nyingi sana utahitajika kufanya maamuzi ya haraka kabla hujawa na taarifa za kutosha. Ni kwenye hali za aina hiyo ndiyo unapaswa kuyatumia vizuri machale yako. Kutumia hisia za ndani yako katika kufanya maamuzi sahihi. Kabla ya kutumia machale yako, lazima kwanza uyaendeleze. Na njia (more…)

2762; Kujiandaa kuishi.

By | July 24, 2022

2762; Kujiandaa kuishi. Watu wengi huwa wanayamaliza maisha yao hapa duniani kabla hata hawajaanza kuishi. Kila wakati wanakuwa wanajiandaa kuanza kuishi. Hatimaye mauti yanawafika kabla hata hawajawa tayari kuishi. Ukifuatilia maisha ya wengi, na huenda hata ya kwako binafsi, hilo lipo dhahiri kabisa. Wakati mtu akiwa mtoto, anaenda shule kujiandaa (more…)