#SheriaYaLeo (266/366); Wavuruge wasiweze kukusoma.
#SheriaYaLeo (266/366); Wavuruge wasiweze kukusoma. Nguvu ya maadui zako ipo kwenye uwezo wao wa kukusoma na kujua nia na mipango uliyonayo. Lengo la mikakati yako linapaswa kuwa ni kuwazuia maadui wasiweze kukusoma. Utaweza kukamilisha hilo kwa kuwavuruga maadui zako, kuwafanya wahangaike na mambo yasiyokuwa sahihi. Unachofanya ni kuigiza unafanya kitu (more…)
