Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

#SheriaYaLeo (205/366); Weka umakini kwenye maelezo.

By | May 24, 2022

#SheriaYaLeo (205/366); Weka umakini kwenye maelezo. Tulipokuwa watoto, tulikuwa tunaweka umakini wetu mkubwa kwenye kila tulichokuwa tunafanya. Hakutuwa na hali ya kuharakisha ambayo tunayo kwenye utu uzima. Hata kama ni michezo, tuliweka umakini mkubwa katika kuicheza. Hilo lilipelekea kuwa rahisi kushawishika kwa sababu umakini wetu ulikuwa mahali pamoja. Lakini kwenye (more…)

Ongea Na Kocha; Sell Like Crazy, Basil Danghalo.

By | May 23, 2022

Habari Mwanamafanikio? Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo mawili makubwa. Jambo la kwanza ni mjadala wa pamoja wa kitabu cha SELL LIKE CRAZY. Hiki ni kitabu kilichoandikwa na Sabry Subi ambacho kinatupa maarifa ya kuweza kujenga mfumo wa masoko na mauzo ambao unatuwezesha kuleta wateja wengi (more…)

2700; Kama wengine wanafanya, usifanye.

By | May 23, 2022

2700; Kama wengine wanafanya, usifanye. Huwezi kupata mafanikio makubwa kama utaendelea kufanya vitu kwa namna ambavyo wengine pia wanavifanya. Ni lazima ufanye vitu tofauti au kwa utofauti na wengine wanavyofanya. Hiyo ni lazima kama unataka kupata mafanikio makubwa. Kamwe usifanye kitu ambacho wengine pia wanakifanya au kwa namna wanavyokifanya. Mara (more…)

#SheriaYaLeo (204/366); Tengeneza kidonda.

By | May 23, 2022

#SheriaYaLeo (204/366); Tengeneza kidonda. Watu huwa hawashawishiki kama hawajioni wakiwa na uhitaji. Hivyo unachopaswa kufanya ili kuwa na ushawishi kwa watu ni kuwafanya waone wana uhitaji. Unafanya hilo kwa kutengeneza kidonda ndani yao. Kwa kujua madhaifu yao au kile wanachokosa na kuweka mkazo zaidi kwenye hilo. Kwa kuwaonyesha wanaweza kuwa (more…)

2699; Msimamo.

By | May 22, 2022

2699; Msimamo. Kila mtu anajua kile anachopaswa kufanya ili kupata kile anachotaka. Wengi huwanza mpaka kuchukua hatua hizo. Lakini bado wengi hawafanikiwi. Kwa sababu wanachokosa ni msimamo. Hawafanyi jambo kwa kujirudia rudia kwa muda mrefu. Wanapoona matokeo hayaji haraka kama wanavyotaka, wanaacha kufanya. Msimamo kwenye ufanyaji ni moja ya mahitaji (more…)

#SheriaYaLeo (203/366); Sheria ya tamaa.

By | May 22, 2022

#SheriaYaLeo (203/366); Sheria ya tamaa. Watu huwa wanatamani kile ambacho wengine wanacho. Haijalishi kina ubora kiasi gani, kitendo cha wengine kuwa nacho, kinawasukuma wao kutaka kuwa nacho ili wasipitwe. Ndiyo maana vitu vikishapata umaarufu huendelea kuwa maarufu. Kwa sababu kila mtu anavitamani vitu ambavyo ni maarufu. Ili kuwa na ushawishi (more…)

2698; Majuto hayana nafasi.

By | May 21, 2022

2698; Majuto hayana nafasi. Kuna fursa ulishindwa kuitumia kipindi cha nyuma na hivyo kushindwa kunufaika nayo. Badala ya kupoteza muda wako kwenye kujutia hilo, unapaswa kulitumia kama funzo la kutokubali kukosa fursa nyingine nzuri. Kuna makosa uliyafanya huko nyuma ambayo yalikugharimu sana. Badala ya kupoteza muda kwenye kujutia makosa hayo, (more…)

#SheriaYaLeo (202/366); Kuwa chanzo cha raha.

By | May 21, 2022

#SheriaYaLeo (202/366); Kuwa chanzo cha raha. Hakuna mtu anayependa kusikia kuhusu matatizo yako. Sikiliza matatizo na malalamiko ya wale unaowalenga, lakini muhimu zaidi waondoe kwenye matatizo hayo kwa kuwapa raha. Kadiri unavyokuwa chanzo cha raha, ndivyo wengi wanavyovutiwa na kushawishika na wewe. Mwonekano wa nguvu na ucheshi una ushawishi kuliko (more…)

#SheriaYaLeo (201/366); Wanase kwenye dunia ya ndoto yako.

By | May 20, 2022

#SheriaYaLeo (201/366); Wanase kwenye dunia ya ndoto yako. Watoto huwa wana uwezo wa kutengeneza dunia ya ndoto yao na kuishi kwenye dunia hiyo kifikra. Bila ya kujali nini kinaendelea nje, ndani yao wanajiona wakiwa kwenye dunia wanayoitaka. Hiki siyo kitu kinachowafaa watoto pekee, bali hata watu wazima kinawafaa sana. Unaweza (more…)