Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

#BIASHARA LEO; Kipengele Cha Biashara Leo Kinarudi.

By | February 1, 2016

Habari za wakati huu mwanamafanikio? Napenda kutoa taarifa kwamba kipengele cha BIASHARA LEO ambacho kinatoa makala fupi kuhusu mambo ya biashara kinarudi tena. Baada ya muda wa kutokuwepo kwa kipengele hiki, sasa kinarudi tena hewani. Kila siku kutakuwa na makala fupi kuhusu biashara kupitia kipengele hiki. Katika makala hizi tutaangalizia (more…)

Njia tano za kujua kama wazo lako la biashara ni bora.

By | January 22, 2016

Bado tupo kwenye mwanzo wa mwaka na kipindi hiki ndipo watu wengi sana wanaweka malengo na mipango ya kuanza biashara au kukuza biashara zao zaidi. Katika kipindi hiki watu wengi wanauliza mawazo bora ya biashara ambayo wanaweza kufanya na wakapata faida nzuri na mafanikio pia. Wazo la biashara ni sehemu (more…)

Mambo Matano(5) Muhimu ya kuzingatia kama umepanga kuanza biashara 2016.

By | January 5, 2016

Mwaka mpya unapoanza watu wengi huwa na mipango mikubwa na mizuri sana. Lakini wengi huishia njiani katika kutekeleza mipango yao hii kutokana na baadhi ya makosa wanayofanya kipindi cha mwanzo wa mwaka kwenye kuweka mipango yao hiyo. Mwaka huu 2016 bado ni mchanga kabisa, na ndio wakati ambao watu wengi (more…)

Malengo matano muhimu ya kibiashara ya kuweka kwa mwaka 2016.

By | December 30, 2015

Mwaka 2015 unakwisha na tunakwenda kuanza mwaka 2016. Je unaweza kusema kwa maneno machache mwaka 2015 ulikwendaje kwenye biashara yako? je unaweza kuangalia kwa mwaka wote 2015 na ukaona ukuaji uliotokea kwenye biashara yako? kwa sababu kama hakuna tofauti, basi ni vigumu sana kwa biashara yako kukua zaidi. Kila mwanzo (more…)

Njia tano za kukuza biashara yako kwenye msimu huu wa sikukuu.

By | December 16, 2015

Kila mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka ni kipindi ambacho watu wengi wanakuwa na mapumziko. Ni wakati ambao watu wengi wanakuwa na sikukuu na pia wengi hufanya sherehe zao katika kipindi hiki. Kutokana na hali hii ya mapumziko na sikukuu, watu wengi huwa kwenye hali ya kufanya manunuzi mengi. (more…)

BIASHARA LEO; Mbinu Za Kumrudisha Mteja Anayetaka Kukukimbia.

By | December 8, 2015

Kwenye makala ya jana ya #BIASHARA_LEO tuliona kauli moja ambayo ukiisikia kwa mteja maana yake mteja huyo unampoteza. Kama hukusoma makala ile bonyeza maandishi haya kuisoma kwanza kabla hujaendelea. Kwenye makala hiyo tumekubaliana usikubali kupokea kauli hii ya mteja. Sasa leo tutaangalia ufanye nini pale mteja anapokupa kauli kwamba nikiwa (more…)

BIASHARA LEO; Ukisikia Kauli Hii Kutoka Kwa Mteja Jua Umeshampoteza.

By | December 7, 2015

Wewe kama mfanyabiashara ni lazima uweze kuwaelewa wateja kwa njia mbalimbali. Kuelewa kile wanachosema, na jinsi wanavyokisema ikiambatana na vitendo vinavyoendana na kile wanachofanya. Kuna baadhi ya kauli ukizisikia kutoka kwa wateja zinakupa moyo kwamba ni dalili nzuri, lakini ukweli ni kwamba kauli hizo zinaashiria umeshampoteza mteja. Kauli moja muhimu (more…)

Jua jinsi benki zinavyofanya kazi kabla hujaomba mkopo wa biashara.

By | December 7, 2015

Wote tunajua ya kwamba ili biashara yako ikue zaidi kuna wakati unahitaji kupata fedha zaidi. Na fedha hizi zinaweza kutoka kwako binafsi au kwa watu wengine. Kama wewe binafsi huna fedha za kuweza kuweka kwenye biashara yako kuikuza, basi kuna taasisi zinaweza kukupatia fedha unazohitaji ili kukuza biashara yako. na (more…)

Njia nne za kujua kama biashara unayotaka kufanya itakuwa na wateja.

By | November 30, 2015

Mara nyingi watu wanaotaka kuingia kwenye biashara huwa wanaangalia biashara zinazofanyika sasa, na kama wakiona wanaofanya wana wateja, basi na wao huingia na kufanya biashara hiyo. Ni njia rahisi ya kuingia kwenye biashara, ila pia inaweza kumfanya mfanyabiashara ajikute kwenye changamoto kubwa sana hasa pale biashara zinapobadilika, na mara zote (more…)

Je unajenga biashara au unafanya biashara? Soma hapa kujua kipi muhimu kwako.

By | November 23, 2015

Mafanikio ya biashara yoyote ile yanaanza na mafanikio ya mfanyabiashara mwenyewe. Biashara itakuwa kwa kiasi kile ambacho mmiliki wake amekua, na haiwezi kwenda zaidi. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wanashindwa kukuza biashara zao kwa sababu wao wenyewe hawakui. Na hili limekuwa tatizo kubwa la biashara nyingi kushindwa au hata kudumaa kabisa. Unakuta (more…)