#SheriaYaLeo (215/366); Tumia hali yao ya ushindani.
#SheriaYaLeo (215/366); Tumia hali yao ya ushindani. Sisi binadamu huwa tuna hali ya ushindani ndani yetu. Huwa hatupo tayari kuona wengine wanatushinda kwenye kitu fulani, hata kama ni kidogo kiasi gani. Ili kuwashawishi wengine, tumia hali yao ya ushindani. Waweke kwenye hali ambayo wanashindana na watu wengine na hawatakubali kushindwa. (more…)
