#SheriaYaLeo (225/366); Tumia hisia zao.
#SheriaYaLeo (225/366); Tumia hisia zao. Kama unataka kumshawishi mtu abadilike, usipingane na hisia zake, bali zitumie hizo kuchochea mabadiliko. Kama mtu ni mkorofi na mtukutu, badala ya kuyapinga hayo, mweke kwenye hali ya kutaka kubadilika ili kuonyesha ukorofi na utukutu wake. Kwa kuyafanya mabadiliko yaendane na kile ambacho tayari mtu (more…)
