BIASHARA LEO; Kitu Hiki KImoja Kitakufanya Ushindwe Kwenye Biashara.

By | March 29, 2015
Moja ya kauli za kusikitisha sana ninayokutana nayo kwa watu ni kwmaba, najaribu kufanya hii biashara nione kama itanipa faida. Kwa kauli hii tu tayari umeshashindwa kwenye biashara unayotaka kufanya. Biashara haijaribiwi, ila inafanywa. Unaposema unajaribu biashara maana yake unaifanya kwa majaribio tu na kama majaribio yako yatakwenda vizuri utaendelea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In