#SheriaYaLeo (281/366); Tofauti ya hisia na mantiki.
#SheriaYaLeo (281/366); Tofauti ya hisia na mantiki. Watu wengi hutumia maneno hisia na mantiki bila kuelewa maana yake halisi. Watu huona wale wasiokubaliana nao kama wanatumia hisia badala ya mantiki. Tunachopaswa kujua ni kwamba sisi binadamu wote ni viumbe wa kihisia. Huwa tunaathiriwa na hisia mbalimbali ambazo zinachochea fikra zinazotufanya (more…)
