#SheriaYaLeo (185/366); Usijiangalie mwenyewe, waangalie wengine.
#SheriaYaLeo (185/366); Usijiangalie mwenyewe, waangalie wengine. Wanaotaka kushawishi wengine huwa hawajiangalii wao wenyewe, bali huwa wanawaangalia zaidi wengine. Hawajiangalii zaidi ndani yao, bali wanaangalia zaidi nje. Hiyo ni kwa sababu kubwa mbili; Moja ni kujiangalia mwenyewe badala ya wengine ni dalili za kutokujiamini. Na pale unapokuwa hujiamini huwezi kuwa na (more…)
