Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

#SheriaYaLeo (191/366); Wafanye wengine wajipendekeze kwako.

By | May 10, 2022

#SheriaYaLeo (191/366); Wafanye wengine wajipendekeze kwako. Ili kuwa na ushawishi mkubwa kwa watu, wanatakiwa wawe wanakuhitaji wewe zaidi ya unavyowahitaji wao. Hivyo unapaswa kutengeneza hali itakayowafanya wengine wakuhitaji zaidi na hilo litawafanya wajipendekeze kwako. Njia ya kwanza ya kufanya hivyo ni kuwa na uhuru kamili na wenye nguvu. Kutokutegemea chochote (more…)

2686; Maelezo ni yale yale.

By | May 9, 2022

2686; Maelezo ni yale yale. Kila unapopanda ndege, maelezo ya usalama ni yale yale. Wahudumu wanarudia kutoa maelezo ya usalama ya hatua za kuchukua inapotokea dharura. Hata kama kila mtu kwenye ndege tayari anajua maelezo hayo, bado ataendelea kuyatoa. Hata kama hakuna anayesikiliza wakati anatoa maelezo hayo, bado ataendelea kuyatoa. (more…)

#SheriaYaLeo (190/366); Wasioshawishika.

By | May 9, 2022

#SheriaYaLeo (190/366); Wasioshawishika. Katika harakati zako za kutaka kuwashawishi wengine ili wakupe kile unachotaka, utakutana na watu ambao hawawezi kushawishika. Hawa ni watu wasiojiamini kupitiliza. Kila mmoja wetu huwa anakuwa na hali ya kutokujiamini. Lakini katika mchakato wa ushawishi, huwa hali hiyo inavukwa kirahisi. Kwa wasioshawishika, kutokujiamini kwao kunakuwa kumepitiliza. (more…)

2685; Ni rahisi mpaka utakapoanza kufanya.

By | May 8, 2022

2685; Ni rahisi mpaka utakapoanza kufanya. Mipango ya kitu chochote kile huwa ni rahisi sana. Na unaweza kujionea wazi kabisa kwamba kila kitu kitakwenda sawa kabisa. Unapoona wengine wanafanya kitu unaona ni rahisi kufanya. Kwamba hata wewe ukiamua unaweza kufanya kama wao. Tena unaweza kuona utafanya zaidi yao. Ni mpaka (more…)

#SheriaYaLeo (189/366); Onekana kuwa kitu kinachopendwa.

By | May 8, 2022

#SheriaYaLeo (189/366); Onekana kuwa kitu kinachopendwa. Watu huwa wanapenda kitu ambacho tayari kinapendwa na watu wengine. Kile ambacho tayari ni maarufu huwa kinawavutia watu wengine wengi zaidi. Watu huwaepuka watu ambao watu wengine wanawaepuka na kuvutiwa na watu ambao watu wengine wanavutiwa nao. Ili kujenga ushawishi na kuwavuta watu wengi (more…)

2684; Kwani umefikaje kwenye hicho kilele?

By | May 7, 2022

2684; Kwani umefikaje kwenye hicho kilele? Fikiria umemkuta mtu kwenye kilele cha mlima na ukamuuliza amewezaje kufika kwenye hicho kilele. Unadhani atakuambia nilikuwa nazurura zurura tu hapo chini ya mlima na hatimaye nikajikuta nipo kileleni? Jibu ni hapana, atakueleza wazi kwamba alipanga kupanda mlima huo, kisha akapiga hatua moja baada (more…)

#SheriaYaLeo (188/366); Tumia mauzo laini.

By | May 7, 2022

#SheriaYaLeo (188/366); Tumia mauzo laini. Kama lengo lako ni kujiuza wewe mwenyewe, iwe ni kujenga ushawishi au unagombea nafasi fulani, kuna njia mbili za kufanya hivyo. Njia ya kwanza ni kuuza kwa ugumu (hard sell). Hapa unaeleza moja kwa moja kila unachotaka, unaelezea mafanikio yako, unatumia takwimu mbalimbali na maoni (more…)

2682; Hapana ni moja, ndiyo ni nyingi.

By | May 5, 2022

2682; Hapana ni moja, ndiyo ni nyingi. Unaposema hapana kwenye jambo moja, unakuwa umekataa jambo hilo moja. Lakini pia hapana hiyo moja inazuia mengine mengi ya mbeleni. Unaposema ndiyo kwenye jambo moja, unakuwa umesema ndiyo kwenye mambo mengine mengi ambayo hata huyaoni. Kwa kusema ndiyo moja, watu wanachukulia umesema ndiyo (more…)

#SheriaYaLeo (186/366); Jali kuhusu watu ili kuwajua kiundani.

By | May 5, 2022

#SheriaYaLeo (186/366); Jali kuhusu watu ili kuwajua kiundani. Hatari kubwa inayokukabili ni kudhani kwamba unawajua watu kiundani na unaweza kuwahukumu kwa haraka. Hilo siyo sahihi, kila mtu unayekutana naye ana mambo mengi ambayo bado huyajui. Kama wanavyosema, moyo wa mtu ni kichaka, una mengi ambayo huwezi kuyaona haraka. Hivyo mtazamo (more…)