#SheriaYaLeo (231/360); Tumia hisia kueleweka.
#SheriaYaLeo (231/360); Tumia hisia kueleweka. Unapotumia maneno pekee kuelezea kitu, inakuwa vigumu kueleweka. Na pia unaishia kuibua ubishi ndani ya watu ambao hawatakubaliana na maelezo yako kirahisi. Lakini ukitumia hisia ambazo zinawanasa wengine, wanakuelewa kwa urahisi zaidi bila hata ya kuleta ubishi. Kwa kuwafanya watu wajisikie vile unavyojisikia wewe, unakuwa (more…)
