#SheriaYaLeo (236/366); Jua na tumia udhaifu wa watu.
#SheriaYaLeo (236/366); Jua na tumia udhaifu wa watu. Sisi binadamu huwa tuna upinzani. Huwa hatupendi kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye. Tunapenda kuona tukifanya maamuzi yetu wenyewe. Huwa tunapinga na kukataa mabadiliko yoyote tunayopendekezewa na wengine. Katika kuwashawishi watu, kukabiliana nao kwenye upinzani wao huwa siyo njia sahihi. Utatumia nguvu (more…)
