#SheriaYaLeo (221/366); Epuka Mabishano.
#SheriaYaLeo (221/366); Epuka Mabishano. Mabishano huwa hayana manufaa yoyote. Hiyo ni kwa sababu kila mtu huwa anaamini maoni yake ni sahihi zaidi. Hivyo unavyobisha na kupinga maoni ya mtu, humshawishi, bali unamfanya azidi kuamini maoni yake. Kadiri unavyombishia mtu ndivyo anavyoacha kukusikiliza na kusimamia upande wake. Kama unataka kuwashawishi watu (more…)
