#SheriaYaLeo (176/366); Tumia maneno matupu.
#SheriaYaLeo (176/366); Tumia maneno matupu. Watu huwa wanapenda na hata kuelewa zaidi lugha ya picha. Hiyo ni kwa sababu inawawezesha kujenga taswira ya kitu na kukielewa vizuri. Unapotaka kuwahadaa watu, nenda kinyume na hilo. Tumia lugha ya maneno matupu ambayo hayamwezeshi mtu kujenga taswira yoyote. Lugha ya aina hiyo inamfanya (more…)
