#SheriaYaLeo (171/366); Wafanye wengine waje kwako.
#SheriaYaLeo (171/366); Wafanye wengine waje kwako. Pale unapoonekana kuwahitaji sana wengine na kwenda kuwafuata, unaishia kuonekana wa kawaida na hakuna anayekuthamini. Lakini pale unapowafanya watu waje kwako, kwa kuwa siyo rahisi wewe kupatikana, unakuwa wa tofauti na unathaminika. Kwa chochote unachofanya, wafanye watu waje kwako wakiwa na uhitaji. Wafanye waje (more…)
