#SheriaYaLeo (162/366); Waambukize watu hisia chanya.
#SheriaYaLeo (162/366); Waambukize watu hisia chanya. Sisi binadamu ni viumbe wa kihisia. Unapokuwa ndani ya kundi lolote lile, hasa kama kiongozi, waambukize watu hisia chanya kwa kuwapa hamasa ya kuweza kufanya makubwa zaidi. Washirikishe maono makubwa na malengo ya kufika kwenye maono hayo. Waonyeshe ung’ang’anizi katika kufikia maono hayo. Pia (more…)
