BIASHARA LEO; Kabla Ya Mteja Kununua Unachouza, Anakununua Wewe Kwanza.
Biashara inaonekana rahisi pale unapofikiria kununua na kuuza pekee. Au kuandaa bidhaa au huduma yako kisha kusubiri wateja waje wa nunue. Lakini biashara siyo rahisi hivi, na ndio maana wengi wanashindwa. Kwa sababu huwa wanafikiri ukishakuwa na mtaji tu unaendesha biashara. Kinachoongeza ugumu kwenye biashara ni ile hali kwamba wateja (more…)
