Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Mambo muhimu kuzingatia ukishapata mkopo wa biashara.

By | March 21, 2016

Moja ya njia za kupata au kuongeza mtaji wa biashara yako ni kuomba mkopo. Na siyo kila mtu anaweza kupata mkopo, hivyo unapokuwa na sifa za kupata mkopo, na ukapata mkopo unaohitaji ni jambo zuri kwa biashara yako. Lakini kama ambavyo unajua, au kama hujui unahitaji kujua leo, mkopo ni (more…)

BIASHARA LEO; Tofauti Ya Kutangaza Biashara Yako Na Kupiga Kelele.

By | March 17, 2016

Watu wengi wanaofikiri wanatangaza biashara zao, ukweli ni kwamba wanapiga kelele. Kabla hatujaendelea ni vyema tukajua kelele ni nini, ili tuone unahusianaje na wale wanaotangaza biashara. Kelele ni sauti zisizo na mpangilio au sauti zisizohitajika kwa mahali husika au wakati husika. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakiwapigia watu wengi kelele kuhusu biashara (more…)

BIASHARA LEO; Sababu Ya Mteja Wako Kwenda Kwa Mshindani Wako.

By | March 16, 2016

Njia bora sana ya kuifikiria biashara yako, ni wewe mmiliki wa biashara kuvaa viatu vya mteja wako. Hebu fikiria kama wewe ndiyo ungekuwa mteja wa biashara hiyo unayoifanya wewe, je ungeendelea kuwa mteja wa biashara hiyo? Na unapofanya hivi usijaribu kujidanganya, ondoa hisia za kujipendelea na fikiri kwa kina. Kwa (more…)

VITU 100 AMBAVYO KILA MJASIRIAMALI ANATAKIWA KUJUA NA KUFANYA ILI KUFANIKISHA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA.

By | March 16, 2016

Je wewe ni mjasiriamali? Au unataka kuingia kwenye ujasiriamali? Kuna mambo muhimu sana unayotakiwa kujua katika safari yako ya ujasiriamali. Bila ya kujua mambo haya utajikuta kwenye wakati mgumu na hata kukata tamaa, kwa sababu ujasiriamali sio safari rahisi kama wengi ambao bado hawajaingia wanafikiri. Karibu tujifunze mambo 100 ambayo (more…)

BIASHARA LEO; Majukumu Makubwa Matano Kwa Kila Mmiliki Wa Biashara Kuzingatia.

By | March 15, 2016

Watu wengi hufikiri biashara ni kwenda kununua vitu kwa bei ya jumla, kuja kuviweka kwenye eneo lako la biashara na kuuza kwa reja reja. Unakaa eneo lako la biashara na mtaja akipita anaona upo pale unauza, anakuja, anauliza bei unamjibu, akitaka kununua unampa, kama asipotaka anaondoka. Au wengine wanafikiri ukishakuwa (more…)

Matumizi ya mitandao ya kijamii kwenye ukuaji wa biashara yako.

By | March 14, 2016

Hakuna anayeweza kukataa kwamba dunia inabadilika, na sio tu kwamba inabadilika, bali inabadilika kwa kasi kubwa sana. Mtandao wa intaneti umegusa kila eneo la maisha, na kwenye biashara ndio umegusa kila eneo la biashara. Wakati mtandao wa intaneti unaanza kukua na kusambaa kwa kasi, watu wengi walifikiri ni kitu ambacho (more…)

BIASHARA LEO; Pumua Biashara Yako…

By | March 10, 2016

Mafanikio kwenye biashara siyo kitu rahisi, ila yanawezekana kama kweli ukijitoa. Na ninaposema kujitoa namaanisha kujitoa kweli kwenye kuifanya biashara yako. Leo nataka kukuambia, pumua biashara yako. Kwa nini upumue biashara yako? Kwa sababu pumzi ndio kitu ambacho huwezi kutengana nacho hata kwa dakika ukabaki salama. Hivi ndivyo ilivyo kwa (more…)

BIASHARA LEO; Huduma Bora Unazohitaji Kutoa Kwa Wateja Wako.

By | March 9, 2016

Kama ambavyo tumekuwa tunajifunza mara kwa mara, kuna eneo moja muhimu sana unaloweza kulitumia vizuri sana kwenye ushindani wa biashara. Japo sijuambii ushindane, ila unapokuwa vizuri kwenye eneo hili hata wale wanaofanya biashara sawa na yako watakuona kwa mbali tu. Eneo hili ni kutoa huduma bora sana kwa wateja wako. (more…)

BIASHARA LEO; Mambo Ya Kuzingatia Unapojikuta Kwenye Ushindani Wa Bei.

By | March 8, 2016

Kama ambavyo tumewahi kujifunza, hakuna ushindani ambao ni mbaya kwenye biashara kama ushindani wa bei. Huu ni ushindani mbovu sana na mara nyingi huwa nauita mbio za kuzimu. Yaani kama mnashindana kwa vigezo vya bei, kwa kuwa mara nyingi mnashindana kushusha bei, basi mwisho wa siku wote mnaishia kuwa na (more…)

BIASHARA LEO: Neno Ambalo Ni Marufuku Kumwambia Mteja.

By | March 7, 2016

Wewe kama mfanyabiashara makini, hitaji la kwanza kabisa ni kuijua vizuri biashara yako, nje ndani. Ni lazima wewe uwe mtaalamu wa biashara yako, kwa kizungu tunasema uwe expert kwenye hiyo biashara unayofanya. Kwa maana hiyo unahitaji kujua mengi kuhusu biashara yako na wakati huo huo unahitaji kuwa wazi kujifunza kuhusu (more…)