Tag Archives: USHAURI WA BIASHARA

BIASHARA LEO; Kusema Ukweli Ni Mtaji Kwa Biashara Yako.

By | May 26, 2015

Unapokuwa kwenye biashara, ni rahisi sana kudanganya ili tu mteja aweze kununua. Hali hii hutokea pale ambapo unahitaji sana kuuza na hivyo kuhakikisha mteja haondoki bila ya kununua. Unaweza kuona hili ni sahihi kwako kwa sababu, baada ya kudanganya utauza, ila kwa mwendo mrefu unaharibu biashara yako. SOMA; Makundi Matatu (more…)

BIASHARA LEO; Hapa Ndio Biashara Yako Inapokosa Maana…

By | May 25, 2015

Unapojaribu kuwa kila kitu kwa kila mtu biashara yako inakosa maana na unashindwa kuwa chochote kwa yeyote. Ufanye nini basi; kuna wa pekee kwa kundi fulani la watu. Usitake kumpata kila mteja aliyepo hapa duniani, bali lenga kuwapata wale watu ambao utaongeza maana kwenye maisha yao, utatatua matatizo yao na (more…)

Jenga biashara yako kwenye misingi hii mitatu na itakuwa imara.

By | May 25, 2015

Kuna biashara nyingi ambazo zinaanzishwa lakini hazifiki mbali. Kuna biashara ambazo zimekuwepo kwa kitambo kirefu lakini hazina mabadiliko yoyote kwenye ukuaji, na baada ya muda zinakufa kabisa. Sio kwamba wanaoanzisha biashara hizi hawana mawazo mazuri, wengi wana mawazo mazuri ya biashara. Wengi wanakuwa wamefanya biashara yenye mafanikio lakini baada ya (more…)

BIASHARA LEO; Kama Bado Hujawa Tayari Kuingia Kwenye Biashara…

By | May 23, 2015

Watu wengi wamekuwa wakiniandikia kwamba wanataka kuanza biashara ila bado hawajawa tayari. Wanakuwa na sababu nyingi ambazo huzitumia na hufikiria wakimaliza mambo fulani kwanza ndio wataingia kwenye biashara. Sasa kama na wewe ni mmoja wa watu ambao wanafikiria kwamba bado hawajawa tayari kuingia kwenye biashara, nataka nikuambie kitu kimoja, hakuna (more…)

BIASHARA LEO; Tafuta Wenye Maumivu…

By | May 22, 2015

Unaweza kuw ana biashara nzuri sana, una bidhaa au huduma bora kabisa inayoweza kutatua matatizo ya mtu na kuboresha maisha yake. Ila kila unapomwambia mtu kuhusu biashara yako, au unapowatangazia watu ambao unaona wanafaa kuwa wateja wako, hawaonekani kuwa tayari kununua bidhaa au huduma hiyo. Katika hali kama hii ni (more…)

BIASHARA LEO; Sahau Kuhusu Kuongeza Faida Na Fanyia Kazi Kitu Hiki Kimoja Kwanza.

By | May 21, 2015

Lengo la biashara sio kutengeneza faida. Kama utakataa sentensi hiyo na una biashara fanya jaribio. Endesha biashara yako kwa lengo moja tu, kupata faida. Na hivyo tumia njia yoyote unayoona itakuwezesha kukuletea faida. Utaipata faida hii kwa muda mfupi lakini biashara haitokua, itakufa. Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa makala (more…)

BIASHARA LEO; Kama Huwezi Kusema Kitu Hiki Kimoja, Huna Biashara.

By | May 20, 2015

Katika wakati wowote na popote ulipo ni lazima uweze kuielezea biashara unaofanya kwa sentensi moja. Ni lazima ndani ya dakika moja uweze kumweleza ni biashara ya aina gani unayofanya na inaelekea wapi, au ina mahitaji gani. Ukishindwa kufanya hivi basi hua biashara. Huna biashara kwa sababu huijui biashara yako vizuri (more…)

BIASHARA LEO; Kama Biashara Yako Isingekuwepo….

By | May 19, 2015

Leo kaa chini na ujiulize na kupata jibu la swali lifuatalo; Kama biashara yako isingekuwepo, je watu wanaokuzunguka wangekuwa katika hali gani? Je dunia ingekuwa kwenye hali gani? Kama jibu ni hakuna tofauti kati ya kuwepo au kutokuwepo kwa biashara yako, basi huna biashara, yaani upo tu unasukuma siku. SOMA; (more…)

Changamoto ya kuendesha biashara wakati bado umeajiriwa.

By | May 18, 2015

Ni hali iliyowazi kwamba maisha yanakuwa magumu kadiri siku zinavyokwenda. Na gharama za maisha zinaongezeka huku vipato vya Ajira vikibaki pale pale au kuongezeka kidogo sana. Hali hii imewafanya waajiriwa wengi kujiingiza kwenye ujasiriamali. Hivyo licha ya kipato cha ajira wanapata kipato kingine cha ziada kupitia ujasiriamali wanaofanya. Waajiriwa wanakuwa (more…)

BIASHARA LEO; Kinachokufanya Ushindwe Kutekeleza Mipango Yako.

By | May 16, 2015

Kila mfanyabiashara anayo malengo na mipango yake kwenye biashara anayofanya. Lakini ni wachache sana ambao wanaweza kufikia mipango yako na kuvuna matunda mazuri. Wafanyabiashara wengi huwa na mipango mizuri ila unapofika wakati wa utekelezaji ndio ugumu unaopoonekana. Hapa ndipo mtu anaona kama haiwezekani na kuamua kurudi nyume na kuendele akufanya (more…)