Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

#SheriaYaLeo (311/366); Nani alaumiwe?

By | September 7, 2022

#SheriaYaLeo (311/366); Nani alaumiwe? Pale mambo yanapokwenda vibaya, ni asili ya binadamu kutafuta mtu wa kumlaumu. Tunaamini watu wengine ndiyo waliosababisha mambo hayo kwenda vibaya. Waache wengine wahangaike na huo ujinga, wakiongozwa na pua zao, wakiona kile tu kinachoonekana na macho. Wewe unaona vitu kwa utofauti. Pale mambo yanapokwenda vibaya, (more…)

#SheriaYaLeo (310/366); Jijue wewe mwenyewe kiundani.

By | September 6, 2022

#SheriaYaLeo (310/366); Jijue wewe mwenyewe kiundani. Unaendeshwa na hisia pale unapokuwa hujitambui wewe mwenyewe. Pale unapojitambua, hisia zinakosa nguvu ya kukutawala. Unaweza kuzidhibiti na kuzuia zisiwe kikwazo kwako. Hivyo hatua ya kwanza unayopaswa kuchukua ili kuwa mtu wa mantiki na busara ni kujitambua wewe mwenyewe. Unapaswa kujikamata pale hisia zinapokuwa (more…)

2805; Kujifunza na kazi.

By | September 5, 2022

2805; Kujifunza na kazi. Kama mtu yeyote akiniuliza ni vitu gani afanye ambavyo vitampa mafanikio kwa uhakika, bila ya kusita hata sekunde moja nitamjibu kujifunza na kazi. Kujifunza kwa kina na endelevu kwenye kile ambacho mtu unafanya ni hitaji muhimu sana ili kufanikiwa. Unapaswa kukijua kweli chochote unachofanya, maana hivyo (more…)

#SheriaYaLeo (309/366); Tumia wivu kama kichocheo cha mafanikio.

By | September 5, 2022

#SheriaYaLeo (309/366); Tumia wivu kama kichocheo cha mafanikio. Pale unapokutana na watu wengine ambao wamepiga hatua kuliko wewe, kuna hali ya wivu huwa inakuingia. Unaweza kuingiwa na hisia za kutaka kumuumiza au kumwibia. Lakini hupaswi kujiruhusu kushuka chini kiasi hicho. Badala yake pata tamaa ya kutaka kufanikiwa kama wao. Pale (more…)

2804; Hakuna kushindwa.

By | September 4, 2022

2804; Hakuna kushindwa. Watu wengi hudhani pale wanapokutana na changamoto na vikwazo mbalimbali basi wameshindwa. Kwenye safari ya mafanikio, kushindwa ni pale unapokuwa umekata tamaa na kuacha kufanya. Hapo ndiyo unakuwa umeshindwa kwa sababu kama umeacha kufanya, umeondoa nafasi zote za kuweza kupata matokeo mazuri. Lakini kama unaendelea kufanya licha (more…)

#SheriaYaLeo (308/366); Ongeza muda wa kujibu.

By | September 4, 2022

#SheriaYaLeo (308/366); Ongeza muda wa kujibu. Hii ni nguvu inayojengwa kwa mazoezi na marudio. Pale jambo kinapokutaka ujibu, jifunze kusubiri kwanza kabla ya kukimbilia kujibu. Unaweza kufanya hivyo kwa kuondoka eneo la tukio na kwenda eneo jingine ambapo utakuwa peke yako. Au unaweza kuandika majibu yako lakini usiyatume. Unajipa muda (more…)

2803; Usitafute fursa, jitafute wewe.

By | September 3, 2022

2803; Usitafute fursa, jitafute wewe. Kama bado unatafuta fursa, tatizo siyo fursa hazipatikani, tatizo ni wewe bado hujajijua vizuri. Na kama umeshajijua basi hujajitumia ipasavyo. Fursa hazitafutwi, maana hazijawahi kupotea, wala hazijajificha. Fursa zinajidhihirisha, pale unapokuwa mtu sahihi, kwenye eneo sahihi na wakati sahihi. Hivyo kama bado hujapata fursa nzuri (more…)

#SheriaYaLeo (307/366); Epuka kuvurugwa na hisia za wengine.

By | September 3, 2022

#SheriaYaLeo (307/366); Epuka kuvurugwa na hisia za wengine. Ili ufanikiwe, lazima uweze kudhibiti hisia zako. Lakini hata ukiweza kufanikisha hilo, bado hutaweza kudhibiti hisia za wale wanaokuzunguka. Na hilo linakuwa hatari kubwa kwako. Watu wengi wanaendeshwa kwa hisia. Kila mara wakiwa wakiwa wanalipuka na kukabiliana na migogoro mbalimbali. Wanapokuona wewe (more…)

2802; Wape wanachotaka.

By | September 2, 2022

2802; Wape wanachotaka. Naweza kusema kwenye haya maisha kama hujafanikiwa, chanzo kikubwa ni ubinafsi. Kwenye maisha unashindwa pale unapojiangalia wewe mwenyewe zaidi ya unavyowaangalia wengine. Pale unapoweka maslahi yako mbele na kupuuza ya wengine. Utakazana sana kupata unachotaka, lakini hutakipata. Kwa sababu kanuni za asili haziendi hivyo. Huwezi kuziambia kuni (more…)