#SheriaYaLeo (311/366); Nani alaumiwe?
#SheriaYaLeo (311/366); Nani alaumiwe? Pale mambo yanapokwenda vibaya, ni asili ya binadamu kutafuta mtu wa kumlaumu. Tunaamini watu wengine ndiyo waliosababisha mambo hayo kwenda vibaya. Waache wengine wahangaike na huo ujinga, wakiongozwa na pua zao, wakiona kile tu kinachoonekana na macho. Wewe unaona vitu kwa utofauti. Pale mambo yanapokwenda vibaya, (more…)
