#SheriaYaLeo (173/366); Chukua mamlaka tararibu.
#SheriaYaLeo (173/366); Chukua mamlaka tararibu. Ukionekana una haraka sana ya kuchukua mamlaka, utaishia kuibua hasira, wivu na chuki. Watu hawatakuwa tayari kukuachia uchukue mamlaka kwa vile unavyotaka. Hivyo njia bora ni kuchukua mamlaka hayo taratibu. Kujipa muda wa kutosha katika kukamilisha hilo. Kwanza wape watu nafasi ya kuona wanafanya kwa (more…)
