#SheriaYaLeo (350/366); Kitambue kifo kwa vitendo.
#SheriaYaLeo (350/366); Kitambue kifo kwa vitendo. Huwa tunakihofia kifo kwa sababu tunajiweka mbali nacho. Imekuwa ikielezwa kwamba dawa ya hofu ni kufanya kile unachohofia. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye kifo, kama hutaki kukihofia, unapaswa kukitambua kifo kwa vitendo. Kujenga hali inayokukumbusha kifo kila wakati kiasi kwamba hukihofii tena. Moja ya (more…)
