#SheriaYaLeo (320/366); Kuwa na roho ya ukarimu.
#SheriaYaLeo (320/366); Kuwa na roho ya ukarimu. Wote tumebeba majeraha na maumivu mbalimbali tangu utotoni. Kwenye maisha yetu ya kijamii, kadiri tunavyokua, tunakutana na hali za kuangushwa na kukatishwa tamaa. Hali hizo hutufanya tujione hatuna thamani na wala hatustahili vitu vizuri kwenye maisha. Wote huwa tuna nyakati za wasiwasi juu (more…)
