#SheriaYaLeo (315/366); Vuka ukabila.
#SheriaYaLeo (315/366); Vuka ukabila. Ukabila una mizizi ndani ya asili ya binadamu. Ulitusaidia sana kipindi ambacho usalama wa mtu ulitegemea sana kuwepo ndani ya kundi. Kuwa nje ya kundi ilikuwa hatari kubwa kwa maisha ya mtu yeyote. Lakini kwa sasa mambo yamebadilika, hali ya usalama ni kubwa na hakuna hatari (more…)
