#SheriaYaLeo (175/366); Jinsi ya kuwafanya watu wawe tayari kukusaidia.
#SheriaYaLeo (175/366); Jinsi ya kuwafanya watu wawe tayari kukusaidia. Kama unataka watu wakusaidie kitu fulani, usiwakumbushe jinsi ambavyo wewe umewahi kuwasaidia huko nyuma. Unaweza kudhani kwa kuwakumbusha hilo wataona wanapaswa kulipa fadhila na hivyo kusukumwa kukusaidia. Lakini siyo kinachotokea. Unapowakumbusha watu jinsi ulivyowasaidia huko nyuma unawafanya wajione hawajiwezi na wanategemea (more…)
