#SheriaYaLeo (331/366); Kuona unachotaka kuona.
#SheriaYaLeo (331/366); Kuona unachotaka kuona. Huwa tunapenda kuthibitisha mawazo ambayo tunayo, kwa kuonyesha kwamba ni sahihi. Hivyo tunajikuta tukitafuta ushahidi wa kuonyesha hilo. Tatizo linalokuja ni kwamba, ushahidi tunapata hauwi kweli, bali unakuwa ni upendeleo wa kile tunachotaka. Inapokuja kwenye kuthibitisha mawazo tuliyonayo, huwa tunaishia kuwa na upendeleo. Tunajikuta tukileta (more…)
